Wikimedia Commons
Mandhari
![Wikimedia Commons](https://cdn.statically.io/img/upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/41/Commons-logo-en.svg/100px-Commons-logo-en.svg.png)
Wikimedia Commons (pia huitwa "Wikicommons") ni hazina ya kuhifadhia na kutumia faili za picha, za sauti na nyinginezo.
Utumiaji wa faili hizo ni huru kwa wikipedia za lugha zote; tena si lazima kuzipakia kwenye wikipedia mojamoja kwa vile zinapatikana kutoka wikipedia zote.
Wikimedia Commons ni mradi wa Wikimedia Foundation.
Picha Bora Katika Mradi Wa Wikimedia Commons
[hariri | hariri chanzo]Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |