Nenda kwa yaliyomo

Wikimedia Commons

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.
Wikimedia Commons
Wikimedia Commons

Wikimedia Commons (pia huitwa "Wikicommons") ni hazina ya kuhifadhia na kutumia faili za picha, za sauti na nyinginezo.

Utumiaji wa faili hizo ni huru kwa wikipedia za lugha zote; tena si lazima kuzipakia kwenye wikipedia mojamoja kwa vile zinapatikana kutoka wikipedia zote.

Wikimedia Commons ni mradi wa Wikimedia Foundation.

Picha Bora Katika Mradi Wa Wikimedia Commons

Wikimedia Commons ina media kuhusu: